Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2017

IJUE NYOTA YAKO.

IJUE NYOTAYAKO NYOTA JINSI YA KUFAHAMU NYOTA YAKO CHUKUA JINA LA BABA YAKO CHUKUA JINA LAKO   NA LA MAMA GAWANYA   KWA KUMI NA MBILI. 1.            IKIBAKI MOJA NI PUNDA. 2.            IKIBAKI MBILI NI NG,OMBE. 3.            IKIBAKI TATU NI MAPACHA. 4.            IKIBAKI NNE NI KAA. 5.            IKIBAKI TANO NI SIMBA. 6.            IKIBAKI SITA NI MASHUKE . 7.            IKIBAKI SABA NI MIZANI . 8.            IKIBAKI NANE NI NGE. 9.            IKIBAKI TISA NI MSHALE. 10.       IKIBAKI KUMI NI MBUZI. 11.       IKIBAKI KUMI NA   MOJA NI NDOO. 12.       IKIBAKI KUMI NA MBILI NI SAMAKI. NA PIA KUNA NYOTA ZA AINA NNE AMBAZO NDIZO NYOTA ZA ASILI NA UKITAKA KUZIJUA NYOTA HIZO UNACHUKUA JINA LAKO LA BABA NA LA MAMA UNAGAWANYA KWA NNE 1.            IKIBAKI MOJA NI   MOTO . 2.            IKIBAKI MBILI NI UDONGO. 3.            IKIBAKI TATU NI UPEPO. 4.            IKIBAKI NNE NI MAJI. NYOTA HIZI NDIZONYOTA ZA ASILI AMBAZO INATAKIWA TUZIFAHAMU MF

KILA SIKU NA NYOTA YAKE NA KAZI ZAKE.

SIKU SAA NA KAZI ZAKE SIKU SAA NA KAZI ZAKE 1.   JUMA TATU. 1.        SAA MOJA NI SAA YA MAPENZI. 2.       SAA MBILI NI SAA   YA WATU AU ADUI AU KUVUNJA NDOA YA MTU. 3.       SAA TATU NI SAA YA MAPENZI. 4.        SAA NNE   NI SAA YA VITA NA ADUI. 5.        SAA TANIO NI SAA YA VITA NA UADUI. 6.        SAA SITA NI SAA YA KUTOA MAJINI. 7.        SAA SABA NI SAA YA KUFUNGA HIRIZI. 8.        SAA NANE NI SAA YA   KUFUNGA NDOA . 9.         SAA TISA NI SAA YA KUFANYA KAZI YOYOTE UTAFANIKIWA. 10.     SAA KUMI NI SAA YA KUUZA NA KUNUNUA. 11. SAA KUMI NA MOJA NI SAA YA KUTENGANISHA WATU AU WANANDOA. 12. SAA KUMI NA MBILI NI SAA YA   KUINGIA KWA WAKUBWA   AU KWENDA KUOMBA KAZI SEHEMU. 2.JUMA NNE. 1.SAA MOJA NISAA YA KUTENGANISHA AU NI SAA YA KUROGEA   AU KUTUMA MAJINI.     2.SAA MBILI NI SAA YA KUINGIA KWA WAKUBWA AU KWENDA KUOMBA KAZI. 3. SAA TATU NI SAA YA MAHABA. 4.SAA NNE NI SAA YA KUTENGANISHA NA NI SAA YA UCHAWI. 5.SAA TANO NI SAA YA M

MADHALA YA KUKAA NA MIDOLI KATIKA NYUMBA.

Picha
WAJUKUU HAMJAMBO? nataka niwape athali za kukaa na midoli ndani. kwanzakabisa midoli na misanamu niharamu kwa mtu yeyote kukaanayondani maana mapepo hupenda kukaa ndani ya misanamu. ukitaka kuamini uwe unachukua sanamulako na uwe unaliambia manenohaya kwa siki41 utaona ajabu na usije ukashangaa unauhama mji. sema wewe blodmeli nibadilishie kinyagohiki. TUSTAFTANE

JE UNATAKA KUMUONA JINI

Picha
JE UNATAKA KUMUONAJINI? CHUKUA UNGA WA PEMBA NYEUPE PAMOJA NA JIVU LA MOTO WA POLI ULE WA KIANGAZI A.K.A BUPI. CHOLA PICHAKAMAHII KATIKA ARDHI KWA KUTUMIA UNGAHUO NA UNAWEKA KATIKATI CHUMGU AMBACHO KITAKUA NA PIGI7 ZA MZIZI WA MBAAZI. WEKA MAANDALIZIYAKO KATIKACHUMBA CHA GIZA NA ASIINGIEMTU TOFAUTI NAWEWE. UTAKUA UNAINGIAHUMO KILASIKU USIKUTUU NA UNALALAHUMO HUKU UNASEMA MANENOHAYA MALABNYINGI. 1,KARIIRI JILBU JINNI BIHAQI HADHIHI SUURA. HAITAFIKA SIKU7 ATAKUIJIA KIUMBE NA UTAMWAMBIA SHIDAYAKO. kama hujaelewa vizuli gonga 0767393934 au 0685393934

TAFSILI ZA NDOTO MBALI MBALI

HIZI NI BAADHI YA NDOTO ZILIZOMO KATIKA KITABU CHANGU CHA NDOTO. NDOTO KILA NDOTO TUZIOTAZO HUA ZINA MAANA YAKE NA PIA NDOTO HUA ZIKO KATIKA MAKUNDI MATATU KUNA NDOTO ZA IBILISI, NDOTO ZA MWENYEZI MUNGU NA NDOTO ZA MAWAZO. PIA NDOTO ZIPO ZA UNABII AMBAZO WALIKUA WAKIOTA MANABII NA MITUME ENZI HIZO. "KAMA MMOJA WENU AKIOTA NDOTO CHAFU NA MBAYA BASI ASIITANGAZE, MAANA NDOTO HIZO ZIMETOKA KWA SHETANI". NA PIA NDOTO ZINAPATIKANA KATIKA BAIBO NA QORAANI Dalili ni kutoka katika Qur'an 49:12 يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلا تَجَسَّسُوا وَلا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا أَيُحِبُّ أَحَدُكُمْ أَن يَأْكُلَ لَحْمَ أَخِيهِ مَيْتًا فَكَرِهْتُمُوهُ وَاتَّقُوا اللَّهَ إِنَّ اللَّهَ تَوَّابٌ رَّحِيمٌ Enyi mlio amini! Jiepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala msipelelezane, wala msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa?

KITABU CHA FUNGUO.

KITABU HIKI NIMEAMUA KUKIANDIKA NA KUWEKA MAMBO MENGI HADHALANI ILA KUWAPUNGUZIENI TABU MBALI MBALI ZITOKANAZO NA UCHAWI NA MAJINI NA KILA AINA YA USHILIKINA. MAANA BINADAMU WA SASA WAMEBADILIKA SANA NA HAWATAKI MAENDELEO YA WENZAO. KWA MATATIZO YA MASHETANI NA MAJINI WATU AU WAGANGA MATAPELI HUTUMIA NJIA HII KUWAIBIA WATU, SASA NATOA ELIMU BURE NA NAMUOMBA ALLAH AWAFANYIE WEPESI DAWAZANGU ZIWASAIDIE NA MIMI PIA MUNIOMBEE NIZIDI KUWAPA ELIMU MBALI MBALI. AAMINA. YALIYOMO (1) Jinsi ya kujifungua kama umefungwa kichawi. (2) Jinsi ya kuvuta wateja katika biashara yako. (3) Jinsi ya kutoa mikosi mwilini. (4) Dawa ya kuzuia chuma ulete. (5) Dawa ya kufukuza majini katika nyumba au mwilini. (6) Dalili za mtu mwenye majini na mashetani. (7) Dawa ya kuuzibiti unyumba au ndoa. (8) Dawa ya kutoa ulisho tumboni. (9) Dawa ya kumuona mwanga katika mji au biashara. (10) Dawa ya kumuosha mtoto alie athiliwa na kijasho. (11) Jinsi ya kuzuia mimba isipolomoke.

MAUMBILE NA TABIA ZAKE.

Mtu mwenye mdomo mkubwa, nimtu mwenye aya na pia nimtu mwenye busala. Mtu mwenye mdomo wa juu ulio binuka, watuhawa ni hatari sana na hasa ukiwa chokoza utaoga matusi hadi utakoma na hawana dogo wao ukiwakosea kidogo hujajuu na hawapendi kuongelea chini wanataka wapaze sauti juu. Nduguyangu ukitaka kuoa na umepata mke mwenye mdomo wa juu uliobinuka jipange. Mtu alie zaliwa na ulemavu wa miguu au mikono, watuhawa huwa wana hasila sana na wanapenda ugonvi japo hawajiwezi. Mtu mwenye ulemavu wa kuzungumza yaani bubu, watuhawa ni wacheshi na pia ni wepesi wa kumsoma mtu ila niwakorofi sana na wakianzisha ugonvi hauushi. Watu wafupi ni wenye hasila za kati. Watu wembamba warefu kiasi, ni wenye hisia kali ki mapenzi na niwabunifu kitandani. TAREHE YA KUZALIWA NA TABIA YAKE Hizi ni tabia za kilamtu kulingana na tarehe aliyo zaliwa kuanzia tarehe moja hadi 30. Terehe 31 tunaihesabu sawa na tarehe moja. Mtu alie zaliwa tarehe 1 atakua ni mtu wa bahati sana na maishayake ni

MAAJABU YA YASINI.

NDUGUZANGU HII NI KIONJO KILICHOKO KATIKA KITABUCHANGU KINACHOITWA MAAJABU YA YASINI. KWA MAHITAJI YA VITABUVYANGU TUWASILIANNE KWA 0657555550/ 0767,393934/ 0685,393934. TIBA KWA MARADHI YOYOTE. Kama mtu atakua na maradhi ya aina yoyote yawe ya kurogwa au ya kawaida achukue maji safi aweke chunvi ya mawe kidogo katika maji hayo kisha ayasomee yasini x7 kila akifika aya ya 58 inaye sema Salaamun qaulan min rabbir rahiimi aludie x7. Hakika hili ni ponyo la uhakika kwa idhni ya allah. Maji hayo yatatumika kwa kunywa 1x3 kwa mda wa siku7. KINGA YA MJI NA MWILI. Chimba shimo urefu wa usawa wa magoti kisha chukua mchanga huo wa chini na shimo ulifukie mchanga huo utausomea yasini x7 kisha weka katika vichupa vyekundu vinane na uzike kwa kuzungushia mji hakika hataingia mchawi wala jinni katika nyumba hiyo. Pia katika mwili utafata utaratibu huo huo kisha unajiokota vitu vya mwili na utie katika chupa pamoja na huo mchanga na naneno haya Ukisha maliza maandalizi na kis

TAREHE YAKO YA KUZALIWA NA MAANA YAKE.

TAREHE YA KUZALIWA NA TABIA YAKE Hizi ni tabia za kilamtu kulingana na tarehe aliyo zaliwa kuanzia tarehe moja hadi 30. Terehe 31 tunaihesabu sawa na tarehe moja. 1. Mtu alie zaliwa tarehe 1 atakua ni mtu wa bahati sana na maishayake ni marefu. 2. Mtu alie zaliwa tarehe 2 atakua na bahati ya kupata vitu kwa ulahisi pasipo kuhangaika. 3. Mtu alie zaliwa tarehe 3 atakua mtu wa kupendwa sana nawatu wenye uwezo. 4. Mtu alie zaliwa tarehe 4 atakua ni mtu wa kuugua ugua kila wakati na vifovyao ni vya gafra. 5. Mtu alie zaliwa tarehe 5 ndoto zake zitakua ni za ukweli lakini atakua muongo muongo. 6. Mtu alie zaliwa tarehe 6 atakua na maisha marefu na ni mwenye afya. 7. Mtu alie zaliwa tarehe 7 atakua na maisha marefu lakini atakua ni mtu wa misukosuko ya kila mala. 8. Mtu alie zaliwa tarehe 8 atakua ni mtu wa kubri yani kila atakacho kifanya anafanikiwa. 9. Mtu alie zaliwa tarehe 9 atakua na mafanikio na umri mrefu. 10. Mtu alie zaliwa tarehe 10 atakua na maisha marefu na mafani

JINSI YA KUJIFUNGUA KAMA UMEFUNGWA KICHAWI.

JINSI YA KUJIFUNGUA KAMA RIZKIZAKO ZIMEFUNGWA KISHILIKINA BIASHARA NK. (1) Chukua kindu saba usiku wakati unataka kulala kisha uzifunge fundo moja moja kisha unasema mimi nimefungwa kilakitu na alienifunga simjui sasa namimi nimejiongezea kifungo nafunga njia zangu pia nafunga ufalme wangu na nafunga nyota zangu hadi siku zitakapo fungua hizi kamba. Kisha unaziweka mchagoni unalala na ikifika asubuhi unazitia ndani ya maji kwenyendoo ya kuogea weka na vifuatavyo. (2) Nazi mo ja. (3) Yai fresh moja. (4) Unga wa majani ya mbaazi. (5) Unga wa muosha fedha. Oga hivyo vyote vikiwa ndani ya hiyo ndoo ya maji kisha unaanza kufungua kindu kwa kusema, alie nifunga alijua kamaliza sasa kuanzia sasa najifungua. Ukimaliza kuzifungua uzichome moto halafu nazi na yai ni vya kuvuja kwa manuizi, Unasema wewe yai umefungwa na sijui kama unamtoto wa kike au wa kiume namimi sijui akie nifunga kama ni wa kike au ni wa kiume nitakavyo kufungua wewe yai namimi nifunguke haraka sana,