TAREHE YAKO YA KUZALIWA NA MAANA YAKE.

TAREHE YA KUZALIWA NA TABIA YAKE
Hizi ni tabia za kilamtu kulingana na tarehe aliyo zaliwa kuanzia tarehe moja hadi 30. Terehe 31 tunaihesabu sawa na tarehe moja.
1. Mtu alie zaliwa tarehe 1 atakua ni mtu wa bahati sana na maishayake ni marefu.
2. Mtu alie zaliwa tarehe 2 atakua na bahati ya kupata vitu kwa ulahisi pasipo kuhangaika.
3. Mtu alie zaliwa tarehe 3 atakua mtu wa kupendwa sana nawatu wenye uwezo.
4. Mtu alie zaliwa tarehe 4 atakua ni mtu wa kuugua ugua kila wakati na vifovyao ni vya gafra.
5. Mtu alie zaliwa tarehe 5 ndoto zake zitakua ni za ukweli lakini atakua muongo muongo.
6. Mtu alie zaliwa tarehe 6 atakua na maisha marefu na ni mwenye afya.
7. Mtu alie zaliwa tarehe 7 atakua na maisha marefu lakini atakua ni mtu wa misukosuko ya kila mala.
8. Mtu alie zaliwa tarehe 8 atakua ni mtu wa kubri yani kila atakacho kifanya anafanikiwa.
9. Mtu alie zaliwa tarehe 9 atakua na mafanikio na umri mrefu.
10. Mtu alie zaliwa tarehe 10 atakua na maisha marefu na mafanikio yake yatakua ni sehemu za mbali au afanye biashara ya kusafili.
11. Mtu alie zaliwa tarehe 11 atakua mchamungu.
12. Mtu alie zaliwa tarehe 12 atakua na maisha marefu kwa uwezo wa alie muumba.
13. Mtu alie zaliwa tarehe 13 ndoto zake malanyingi hutimia.
14. Mtu alie zaliwa tarehe 14 atakua mtu wa kusikilizwa na watu.
15. Mtu alie zaliwa tarehe 15 atakua ni mtu wa kupata ajali za mala kwa mala.
16. Mtu alie zaliwa tarehe 16 atakua ni mtu wa kupata mikosi mara kwa mara.
17. Mtu alie zaliwa tarehe 17 atakua mjinga mjinga au mpole kupita kiasi.
18. Mtu alie zaliwa tarehe 18 atakua na tabia ya udokozi au wizi.
19. Mtu alie zaliwa tarehe 19 atakua dhaifu dhaifu.
20. Mtu alie zaliwa tarehe 20 atakua muongo muongo na mfitinishaji wa watu na ukiwa na rafiki wa tarehe hii usimwambie silizako maana hataweza kuvumilia nayo ataisematuu hatakama utamkataza.
21. Mtu alie zaliwa tarehe 21 atakua na uwezo ki fedha na atakua na afya njema.
22. Mtu alie zaliwa tarehe 22 atakua ni mchamungu na atapendwa na watu na katika tarehe hii kama ni shekhe au ustadhi au mtu yeyote wa kuombea watu basi atakua na nguvu za uponyaji.
23. Mtu alie zaliwa tarehe 23 atakua na hasira sana na atasaliti familia, akitaka kuepukana na hilo ajitahidi kujizuia na hasira na atapenda kuishi mbali na familia yao au mikoa ya mbali au nchi za mbali.
24. Mtu alie zaliwa tarehe 24 atakua mkalimu sana na nimtu mwenye kupenda amani na asie penda kuonewa nayeye hapendi kuonea.
25. Mtu alie zaliwa tarehe 25 atakua na roho mbaya sana na hata akianzisha ugonvi nilazima atumie siraha na kujeruhi haoni kama ni vibaya.
26. Mtu alie zaliwa tarehe 26 atakua ni mtu wa kupendwa sana na watu na atafanikiwa katika maisha yake.
27. Mtu alie zaliwa tarehe 27 atapendwa sana na wanawake awe mwanaume au mwanamke na marafikizake watakua ni wanawake.
28. Mtu alie zaliwa tarehe 28 atapendwa sana na wazazi na watamtegemea kwa asilimia kubwa na atawasaidia.
29. Mtu alie zaliwa tarehe 29 ataishi katika maisha ya dhiki katika muda mfupi na atafanikiwa hadi kifochake.
30. Mtu alie zaliwa tarehe 30 atakua ni mvumbuzi wa kuvumbua vitu kama vile sayansi, biashara, ufundi nk, na pia atakua na mafanikio makubwa.
Ukitaka kujua ukweli wa tarehe hizi angalia katika watoto ulio wazaa kwa tarehe zao na uangalie matendo wanayo yafanya utaamini na utamjua kila mtoto atakua na hulkagani katika maisha yake.
KUWASHWA KIUNGO NA ISHALA YAKE.
1. Ukiwashwa kiwiko cha mkono wa kushoto utapata habali mbaya.
2. Ukiwashwa kiwiko cha mkono wa kulia utapata habali nzuli au utapata pesa.
3. Ukiwashwa kiganja cha mkono wa kulia utapata pesa.
4. Ukiwashwa kiganja cha mkono wa kushoto utatoa pesa au utapoteza pia ni ishala ya kulipa madeni.
5. Ukiwashwa fundo la mguu wa kulia utapata pesa.
6. Ukiwashwa fundo la mguu wa kushoto utatoa pesa.
7. Ukiwashwa tumbo maeneo ya kitovuni, utakula kitu kizuli au utapata mwaliko.
8. Ukiwashwa makalio, utapata suluhu ya matatizoyako au kama unakesi ita suluhiswa na kama muna ugonvi ndani mtapata suluhu au utateuliwa kusuluhisha watu.
9. Ukiwashwa mapaja, utahama au utapata safali.
10. Ukiwashwa goti la mguu wa kushoto utaletewa habali za uongo au kunawatu wanakusema vibaya.
11. Ukiwashwa goti la kulia, utapata habali nzuli.
12. Ukiwashwa juu ya nyayo mguu wowote, utapata jambo la kukushangaza na litakukela.
13. Ukiwashwa unyayo wa mguu wa kushoto, utapata safali ya matatizo na kama unasafali safali hiyo ni mbaya usiende.
14. Ukiwashwa nyayo ya kulia, utapata safali ya mafanikio na kuna uwezekano wa kupata pesa.
15. Ukiwashwa jicho la kulia, utaona kitu kizuli.
16. Ukiwashwa jicho la kushoto utaona kitu kibaya na hakita kupendeza na nidalili ya kupata matatizo.
17. Ukiwashwa katika ziwa kwa mwanamke ni dalili ya kupata ujauzito.
Dalili za kuwashwa ziko nyingi lakini nawapa hizi kwanza dalilizingine nitawapakatika kitabu kijacho, inshallah.
KAZI KWAKO, NA UKIHITAJI KITABU CHENYE MAMBO HAYA NA ZAIDI TIWASILIANE VITA KUFIKIA POPOTE KWA JUMLA NA REJA REJA.

Maoni

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kujua nyota yako kwakutumia tarehe yako ya kuzaliwa

TAFSILI ZA NDOTO MBALI MBALI