Hii ni kuijua nyota yako kwa njia ya tarehe na ndo sahihi kuliko njia zingine maana katika jina unaweza kukosea herufi na ikakuletea nyota tofauti. TAREHE 21 - 03 HADI 22 - 04 PUNDA TAREHE 22 - 04 HADI 21 - 05 NG’OMBE TAREHE 22 - 05 HADI 20 - 06 MAPACHA TAREHE 21 - 06 HADI 22 - 07 KAA TAREHE 21 - 07 HADI 22 - 08 SIMBA TAREHE 23 - 08 HADI 22 - 09 MASHUKE TAREHE 23 - 09 HADI 22 - 10 MIZANI TAREHE 23 - 10 HADI 21 - 11 NGE TAREHE...
HIZI NI BAADHI YA NDOTO ZILIZOMO KATIKA KITABU CHANGU CHA NDOTO. NDOTO KILA NDOTO TUZIOTAZO HUA ZINA MAANA YAKE NA PIA NDOTO HUA ZIKO KATIKA MAKUNDI MATATU KUNA NDOTO ZA IBILISI, NDOTO ZA MWENYEZI MUNGU NA NDOTO ZA MAWAZO. PIA NDOTO ZIPO ZA UNABII AMBAZO WALIKUA WAKIOTA MANABII NA MITUME ENZI HIZO. "KAMA MMOJA WENU AKIOTA NDOTO CHAFU NA MBAYA BASI ASIITANGAZE, MAANA NDOTO HIZO ZIMETOKA KWA SHETANI". NA PIA NDOTO ZINAPATIKANA KATIKA BAIBO NA QORAANI Dalili ni kutoka katika Qur'an 49:12 يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلا تَجَسَّسُوا وَلا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا أَيُحِبُّ أَحَدُكُمْ أَن يَأْكُلَ لَحْمَ أَخِيهِ مَيْتًا فَكَرِهْتُمُوهُ وَاتَّقُوا اللَّهَ إِنَّ اللَّهَ تَوَّابٌ رَّحِيمٌ Enyi mlio amini! Jiepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala msipelelezane, wala msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa? ...
TAREHE YA KUZALIWA NA TABIA YAKE Hizi ni tabia za kilamtu kulingana na tarehe aliyo zaliwa kuanzia tarehe moja hadi 30. Terehe 31 tunaihesabu sawa na tarehe moja. 1. Mtu alie zaliwa tarehe 1 atakua ni mtu wa bahati sana na maishayake ni marefu. 2. Mtu alie zaliwa tarehe 2 atakua na bahati ya kupata vitu kwa ulahisi pasipo kuhangaika. 3. Mtu alie zaliwa tarehe 3 atakua mtu wa kupendwa sana nawatu wenye uwezo. 4. Mtu alie zaliwa tarehe 4 atakua ni mtu wa kuugua ugua kila wakati na vifovyao ni vya gafra. 5. Mtu alie zaliwa tarehe 5 ndoto zake zitakua ni za ukweli lakini atakua muongo muongo. 6. Mtu alie zaliwa tarehe 6 atakua na maisha marefu na ni mwenye afya. 7. Mtu alie zaliwa tarehe 7 atakua na maisha marefu lakini atakua ni mtu wa misukosuko ya kila mala. 8. Mtu alie zaliwa tarehe 8 atakua ni mtu wa kubri yani kila atakacho kifanya anafanikiwa. 9. Mtu alie zaliwa tarehe 9 atakua na mafanikio na umri mrefu. 10. Mtu alie zaliwa tarehe 10 atakua na maisha marefu na mafani...
Maoni
Chapisha Maoni