Dalili za mtu mwenye majini na mizimu
kuna kujitambua kuwa una majini kwa njia mbalimbali, kujitambua kwa njia ya ndoto na dhahiri.
Dalili za dhahiri
- Kizunguzungu.
- Vitu kutembea tumboni.
- Vicheza mwilini.
- Kichwa kuuma mara kwa mara.
- Kuhisi mtu anatembea nyuma yako.
- Kupiga mihayo sana.
- Macho kukosa aibu.
- Hasira za mara kwa mara.
- Kupoteza kumbukumbu.
- Ugomvi wa mara kwa mara hasa kwa wana ndoa.
- Maradhi ya kujibadilisha badilisha.
- Kuhisi baridi mara kwa mara.
- Kutojisikia kuongea hasa wakati unaposemeshwa na mtu unaona kama anakusumbua.
- Masiko kupiga kelele.
- Kuhisi vitu vinaongea masikioni.
- Kupoteza hela mara kwa mara kwa njia ya kutatanisha.
- Kuharibikiwa na vitu hasa vya moto.
- Matatizo ya hedhi kufungika au kutoka kwa wingi au kukosa kabisa.
- Kufungika kwa kizazi.
- Kustuka stuka wakati wa usiku au kustuliwa.
- Moyo kuongopa sawa na mtu mwenye presha.
- Kupungukiwa damu na kukonda au kuishiwa maji mwilini mala kwa mala.
- Kupungukiwa nguvu za kiume au za kike.
- Kusikia uchungu wakati wa tendo la ndoa au unapomaliza hata unapo anza hasa kwa kina mama tatizohili lipo sana.
- Kuhisi kichefuchefu unapomaliza tendo la ndoa.
- Kuhisi manukato au harufu mbaya.
- Kukosa hamu ya kula au kubagua chakula.
- Mimba kupotelea tumboni.
- Kuhisi watu wanakusemesha na hauwaoni.
- Kifafa, kuna vifafa vya kawaida na vifafa vya kulogwa pia kuna vifafa isababishwavyo na jinni maiti.
- Kichaa, malanyingi vichaa hutumiwa majini waitwao asahha.
- Pia majini humsababisha mwanamke kuwa mkali wakati anapoombwa tendo la ndoa.
DALILI KATIKA NDOTO.
- Ndoto za kufukuzwa na wanyama wakali.
- Ndoto za kuota unajifungua (kuzaa).
- Kuota unapigwa.
- Ndoto za kuogelea.
- Ndoto za kupaa.
- Ndoto za kuota umepandishiwa jini.
- Ndoto za kuota umeoa au umeolewa.
- Kuota umevalishwa pete au mkufu.
- Kuota unapigana.
- Kuota unapiga kelele.
- Kuota moto mkubwa.
- Kuota unazika.
- Kuota umekufa.
- Kuota unafukua kabuli.
- Kuota sherehe mara kwa mara.
- Kuota unaongea na watu waliokufa.
- Kuota unaona visuguu.
- Kuota unaona mafuvu wa watu.
- Kuota unapiga ramli.
- Kuota unavaa bangili au shanga, mizimu au majini.
- Kuota watu wanachunga ng,ombe.
- Kuota watu wamevaa nguo nyeupe wame kusimamia.
- Kuota unakabidhiwa mkuki, fimbo, mundu, mbuzi, kondoo, ng,ombe na kitambaa cheupe, chekundu au cheusi ni dalili ya mizimu au majini.
- Kuota vijumba vya mizimu.
- Kuota vibuyu ni dalili ya mizimu..
- Kuota unakunywa au unanyeshwa damu.
- Kuota watu wamevaa kanzu.
Hizi ni dalili za majini kwa njia za ndotoni japo zipo nyingi ila nawatajia hizi hapa kwa ufupi. Na pia namuomba mwenyezi mungu aendelee kunipa fahamu ili niendelee kuwaelimisha na kuwafundisha mambo mengi ya kuwatambua majini kwa njia za njozi pia kwa njia za dhahili.
Watu wengi wanasumbuka na mashetani ,mizimu na majini maiti lakini hawajitambui sasa nahitaji kuwapa elimu ili muweze kufaidika nazo na kijifahamu mapema ili kuwaondoa mapema kabla hawajazaana au kuitana.
Na pia nawafundisha dawa kwa ajili ya huduma ya kwanza na kujikwamua na adha hii ya majini. Asante yenu itanisababisha kazi yangu kusonga mbele na hii ni moja ya sadaka. Kwa sasa majini ndio wanaongoza kwa kuwatesa watu, kuwatia nuksi, kuwafilisi, pia na kuvunja ndoa za watu.
Majini wamekua ni kesi kubwa sana kwetu maana wamejaa sana na wanasumbua sana ummahuu na wachawi hutumia majini kwa ajili ya kuwatesa watu.
Ee mola mlezi tunusuru na shari za majini na wayatumiayo, aamina in shallah.
Sasa maneno yako sawa Sasa dawa gani u naweza kutumiya
JibuFutaMimi nimesomà maelazo no mlengwa kwani hedhi ilfunga na huana sikia vitu kicheza tumboni na kupumua nisaidie no yangu no 0789125686
JibuFutaMie kila nacho kifny hakiend sifanikiw najitahid kujituma lkn pesa zinpotea bila kujijuwa nanipata mchumba htufik malengo tunachn naomb unisaidie0776485202
JibuFutaUthmanhemed
FutaNahitaji kusoma makibu
JibuFutaJe kipi kiganyike Kama unadalili hizo toa elimu tafadhali
JibuFutaMume wangu ana Tabia ya kustuka stuka usiku alaf ana kuwa anaongea kilugha cha kwao kisukuma je? Itakuwa shida nn ??
JibuFutaKwa zaidi ya miaka 13 ya ndoa sikuweza kuzaa, naendelea kuharibika hata nikipata mimba, madaktari wote hawakuweza kunisaidia, hadi dada yangu akanielekeza kwa Dr DAWN, ambaye alinisaidia nikapata ujauzito na sasa hivi kuwa na mtoto mzuri wa kike,
JibuFutaAnasaidia pia marafiki zangu wengi niliowaelekeza, Dr DAWN ni baraka kwa kila mtu anayewasiliana naye,
*Kama unataka kupata mimba.
*Ukitaka kuacha kuharibika kwa mimba.
*Ukitaka kumrudisha mpenzi wako.
*Kama unataka mume/mkeo arudishwe.
*Kama unataka kurejesha mali yako iliyoibiwa au Pesa.
*Ukitaka kutibu aina yoyote ya ugonjwa,
Wasiliana naye kwa WhatsApp: +2349046229159
UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI.
JibuFuta(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi Mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
CALL/WHATSUP +255 742162843
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM NA NAFUU KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga +255742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE +255742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU
Wewe ndiye kitu bora zaidi ambacho kimewahi kunitokea, ulimrudisha mume wangu wakati nilidhani hakuna kitakachotokea kwa sisi kuwa pamoja tena. Utakuwa na baraka na maombi yangu kila wakati kwa spell hii yenye nguvu ambayo umenifanyia na mume wangu kuwasiliana nayo.
JibuFutaHii hapa Dr Dawn Whatsapp number: ( +2349046229159 ) kwa wale ambao wana matatizo katika mahusiano/ndoa/ maisha,
Hata ikiwa ni maswala ya uzazi, kesi ya Curt, nambari za kushinda bahati nasibu, E.T.C.
DR Dawn Whatsapp: +2349046229159
Barua pepe dawnacuna314@gmail.com
IJUWE SIRI YA MALI NA UTAJIRI KWA NDAGU NA MAJINI PIA ASILI YAKO.
JibuFutaKATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.